Monday, May 19, 2008

CAST PLANT

Huu ni mmea ambao umezoeleka kuonekana maeneo mengi ya Tanzania, mme huu hutoa mbegu ambazo zinatoa mafuta (cast oil) kiasi cha 40% - 60%. Mafuta haya yanakuwa na kemikali ya recin ambayo ni sumu.


Sumu iliyomo kwenye mbegu za mimea hii inauwezo wa kuua binadamu kwa kiasi kidogo chambegu 2 - 3 kwa mtoto mdogo ma mbegu 8 kwa mtu mzima
MATUMIZI
Mafuta haya yanauwezo mkubwa wa kutibu fangasi za miguu, maonjwa ya ngozi na miguu kupasuka, pia yanasaidia kufunga choo kwa wale wenye tatizo hili lakini yanywewe katika kiwango kidogo sana kwa sababu ni sumu

No comments: