Saturday, September 29, 2007

FRIESIAN


ASILI YAKE
Uholanzi katika jimbo la frisieland
UZALISHAJI KWA MWAKA
10,158 kg za maziwa
3.64% mafuta
3.05% protini
RANGI
nyeupe na nyeusi, mara chache (1/1000) nyekundu na nyeupe
UZITO
kilo 1200 majike
kilo 1400 madume
Huyu ndiye aina ya ng'ombe anayeshikilia rekodi ya uzalishaji maziwa kwa kiwango cha juu, maziwa yake hayama mafuta mengi. Nimeshuhudia akitoa maziwa zaidi ya lita 70 kwa siku kwa mikamuo mitatu 1- lita 30 2- lita 20 3- lita 25. Madume yanatumika kwa kulimia na kukokota mikokoteni, Ni mkubwa kushinda nyati ambaye ana uzito wa kilo 800-1000, kama wanavyoonekana kwenye picha urefu wao ni sawa na kimo cha mtu mwenye urefu wa wastani. Kwa Tanzania wanapatikana zaidi Kitulo mkoani Iringa na Uyole (kilimo) Mkoani Mbeya

No comments: